Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 3:28 - Swahili Revised Union Version

Amin, nawaambia, Dhambi zote watasamehewa wanadamu, na kufuru zao watakazokufuru zote;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Kweli nawaambieni, watu watasamehewa dhambi zao zote na kufuru zao zote;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Kweli nawaambieni, watu watasamehewa dhambi zao zote na kufuru zao zote;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Kweli nawaambieni, watu watasamehewa dhambi zao zote na kufuru zao zote;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amin, nawaambia, watu wataweza kusamehewa dhambi na kufuru zao zote;

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amin, nawaambia, dhambi zote na makufuru yote ya wanadamu watasamehewa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amin, nawaambia, Dhambi zote watasamehewa wanadamu, na kufuru zao watakazokufuru zote;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 3:28
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na yeyote atakayelaani jina la BWANA hakika atauawa; mkutano wote watamwua kwa kumpiga kwa mawe; kama ni mgeni, kama ni mzaliwa, hapo atakapolaani jina la BWANA atauawa.


Na tazama, baadhi ya waandishi wakasema nafsini mwao, Huyu anakufuru.


Na kila mtu atakayenena neno juu ya Mwana wa Mtu atasamehewa, bali aliyemkufuru Roho Mtakatifu hatasamehewa.


Mtu akimwona ndugu yake anatenda dhambi isiyo ya mauti, ataomba, na Mungu atampa uzima kwa ajili ya hao watendao dhambi isiyo ya mauti. Iko dhambi iliyo ya mauti. Sisemi ya kwamba ataomba kwa ajili ya hiyo.