Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 9:3 - Swahili Revised Union Version

3 Na tazama, baadhi ya waandishi wakasema nafsini mwao, Huyu anakufuru.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Baadhi ya waalimu wa sheria wakaanza kufikiri, “Mtu huyu anamkufuru Mungu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Baadhi ya waalimu wa sheria wakaanza kufikiri, “Mtu huyu anamkufuru Mungu!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Baadhi ya waalimu wa sheria wakaanza kufikiri, “Mtu huyu anamkufuru Mungu!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Kwa ajili ya jambo hili, baadhi ya walimu wa Torati wakasema mioyoni mwao, “Huyu mtu anakufuru!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Kwa ajili ya jambo hili, baadhi ya walimu wa Torati wakasema mioyoni mwao, “Huyu mtu anakufuru!”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

3 Na tazama, baadhi ya waandishi wakasema nafsini mwao, Huyu anakufuru.

Tazama sura Nakili




Mathayo 9:3
13 Marejeleo ya Msalaba  

Na yeyote atakayelaani jina la BWANA hakika atauawa; mkutano wote watamwua kwa kumpiga kwa mawe; kama ni mgeni, kama ni mzaliwa, hapo atakapolaani jina la BWANA atauawa.


Lakini mtu afanyaye neno lolote kwa kusudi, kama ni mzalia, kama ni mgeni, huyo amtukana BWANA; na mtu huyo atatupiliwa mbali na watu wake.


Ndipo Kuhani Mkuu akararua mavazi yake, akisema, Amekufuru; mna haja gani tena ya mashahidi? Tazameni, sasa mmesikia hiyo kufuru yake;


kwa maana alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka, wala si kama waandishi wao.


Mmesikia kufuru yake; mwaonaje ninyi? Wote wakamhukumu kuwa imempasa kuuawa.


Amin, nawaambia, Dhambi zote watasamehewa wanadamu, na kufuru zao watakazokufuru zote;


bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila atakuwa ana dhambi ya milele,


Kwa maana ndani ya mioyo ya watu hutoka mawazo mabaya, uasherati,


Basi, wale Waandishi na Mafarisayo wakaanza kuulizana wakisema, Ni nani huyu asemaye maneno ya kukufuru? Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa Mungu peke yake?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo