Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 2:6 - Swahili Revised Union Version

Na baadhi ya waandishi walikuwako huko, wameketi, wakifikiri mioyoni mwao,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baadhi ya waalimu wa sheria waliokuwa wameketi hapo wakawaza mioyoni mwao,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baadhi ya waalimu wa sheria waliokuwa wameketi hapo wakawaza mioyoni mwao,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baadhi ya waalimu wa sheria waliokuwa wameketi hapo wakawaza mioyoni mwao,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Basi baadhi ya walimu wa Torati waliokuwa wameketi pale wakawaza mioyoni mwao,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Basi baadhi ya walimu wa Torati waliokuwa wameketi huko wakawaza mioyoni mwao,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na baadhi ya waandishi walikuwako huko, wameketi, wakifikiri mioyoni mwao,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 2:6
6 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yesu, alipoiona imani yao, akamwambia yule mwenye kupooza, Mwanangu, umesamehewa dhambi zako.


Mbona huyu anasema hivi? Anakufuru. Ni nani awezaye kusamehe dhambi isipokuwa mmoja, ndiye Mungu?


Naye Yesu akatambua, akawaambia, Mbona mnabishana kwa sababu hamna mikate? Hamfahamu bado, wala hamjaelewa? Je! Mioyo yenu ni mizito?


tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo;