Marko 2:6 - Swahili Revised Union Version6 Na baadhi ya waandishi walikuwako huko, wameketi, wakifikiri mioyoni mwao, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Baadhi ya waalimu wa sheria waliokuwa wameketi hapo wakawaza mioyoni mwao, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Baadhi ya waalimu wa sheria waliokuwa wameketi hapo wakawaza mioyoni mwao, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Baadhi ya waalimu wa sheria waliokuwa wameketi hapo wakawaza mioyoni mwao, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Basi baadhi ya walimu wa Torati waliokuwa wameketi pale wakawaza mioyoni mwao, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Basi baadhi ya walimu wa Torati waliokuwa wameketi huko wakawaza mioyoni mwao, Tazama suraBIBLIA KISWAHILI6 Na baadhi ya waandishi walikuwako huko, wameketi, wakifikiri mioyoni mwao, Tazama sura |