Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 15:9 - Swahili Revised Union Version

Pilato akawajibu, akisema, Je! Mnataka niwafungulie mfalme wa Wayahudi?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Pilato akawauliza, “Je, mwataka niwafungulieni Mfalme wa Wayahudi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Pilato akawauliza, “Je, mwataka niwafungulieni Mfalme wa Wayahudi?”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Pilato akawauliza, “Je, mwataka niwafungulieni Mfalme wa Wayahudi?”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Pilato akawauliza, “Mnataka niwafungulie huyu mfalme wa Wayahudi?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Pilato akawauliza, “Mnataka niwafungulie huyu Mfalme wa Wayahudi?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Pilato akawajibu, akisema, Je! Mnataka niwafungulie mfalme wa Wayahudi?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 15:9
7 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana alitambua ya kuwa wakuu wa makuhani wamemtoa kwa husuda.


Makutano wakaja, wakaanza kuomba awafanyie kama vile alivyozoea.


Lakini kwenu kuna desturi ya mimi kuwafungulia mtu mmoja wakati wa Pasaka; basi, mwapenda niwafungulie Mfalme wa Wayahudi?