Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 15:35 - Swahili Revised Union Version

Na baadhi yao waliosimama pale, walisema, Tazama, anamwita Eliya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Baadhi ya watu waliosimama pale waliposikia hivyo, walisema, “Sikiliza! Anamwita Elia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Baadhi ya watu waliosimama pale waliposikia hivyo, walisema, “Sikiliza! Anamwita Elia.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Baadhi ya watu waliosimama pale waliposikia hivyo, walisema, “Sikiliza! Anamwita Elia.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama karibu waliposikia hayo, wakasema, “Msikieni, anamwita Ilya.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Baadhi ya watu waliokuwa wamesimama karibu waliposikia hayo, wakasema, “Msikieni anamwita Ilya.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na baadhi yao waliosimama pale, walisema, Tazama, anamwita Eliya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 15:35
5 Marejeleo ya Msalaba  

Na saa tisa Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Maana yake, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?


Na mmoja akaenda mbio, akajaza sifongo siki, akaitia juu ya mwanzi, akamnywesha, akisema, Acheni, na tuone kwamba Eliya anakuja kumteremsha.