Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 15:26 - Swahili Revised Union Version

Palikuwa na anwani ya mashitaka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Na shtaka dhidi yake lilikuwa limeandikwa, “Mfalme wa Wayahudi.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Na shtaka dhidi yake lilikuwa limeandikwa, “Mfalme wa Wayahudi.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Na shtaka dhidi yake lilikuwa limeandikwa, “Mfalme wa Wayahudi.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tangazo likaandikwa la mashtaka dhidi yake lenye maneno haya: Mfalme wa Wayahudi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tangazo likaandikwa la mashtaka dhidi yake lenye maneno haya: “mfalme wa wayahudi.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Palikuwa na anwani ya mashitaka yake iliyoandikwa juu, MFALME WA WAYAHUDI.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 15:26
14 Marejeleo ya Msalaba  

Nami nimemweka mfalme wangu Juu ya Sayuni, mlima wangu mtakatifu.


Maana hasira ya binadamu itakusifu, Masalio ya hasira utajifunga kama mshipi.


Moyo wa mfalme huwa katika mkono wa BWANA; Kama mifereji ya maji huugeuza popote apendapo.


Lakini hivyo sivyo akusudiavyo mwenyewe, wala sivyo moyo wake uwazavyo; maana katika moyo wake akusudia kuharibu, na kukatilia mbali mataifa, wala si mataifa machache.


nitangazaye mwisho tangu mwanzo, na tangu zamani za kale mambo yasiyotendeka bado; nikisema, Shauri langu litasimama, nami nitatenda mapenzi yangu yote.


Furahi sana, Ee binti Sayuni; Piga kelele, Ee binti Yerusalemu; Tazama, mfalme wako anakuja kwako; Ni mwenye haki, naye ana wokovu; Ni mnyenyekevu, amepanda punda, Naam, mwanapunda, mtoto wa punda.


Yuko wapi yeye aliyezaliwa mfalme wa Wayahudi? Kwa maana tuliiona nyota yake mashariki, nasi tumekuja kumsujudia.


Wakaweka juu ya kichwa chake mashitaka yake, yaliyoandikwa HUYU NI YESU, MFALME WA WAYAHUDI.


Pilato akamwuliza, Wewe ndiwe mfalme wa Wayahudi? Akajibu, akamwambia, Wewe wasema.


Na pamoja naye walisulubisha wanyang'anyi wawili, mmoja mkono wake wa kulia na mmoja mkono wake wa kushoto. [


Kristo, mfalme wa Israeli, na ashuke sasa msalabani tupate kuona na kuamini. Hata wale waliosulubiwa pamoja naye wakamsuta.


Lakini BWANA, Mungu wako, hakukubali kumsikiza huyo Balaamu; BWANA, Mungu wako, aliyageuza yale maapizo kuwa ni baraka, kwa vile alivyokupenda BWANA, Mungu wako.