Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 14:32 - Swahili Revised Union Version

Kisha wakaja mpaka katika bustani iitwayo Gethsemane; akawaambia wanafunzi wake, Ketini hapa pindi niombapo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Basi, wakafika katika bustani iliyoitwa Gethsemane. Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa wakati mimi nasali.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Basi, wakafika katika bustani iliyoitwa Gethsemane. Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa wakati mimi nasali.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Basi, wakafika katika bustani iliyoitwa Gethsemane. Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa wakati mimi nasali.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wakaenda mahali paitwapo Gethsemane. Isa akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa, nami niende nikaombe.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakaenda mahali paitwapo Gethsemane. Isa akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa, nami niende nikaombe.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kisha wakaja mpaka katika bustani iitwayo Gethsemane; akawaambia wanafunzi wake, Ketini hapa pindi niombapo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 14:32
10 Marejeleo ya Msalaba  

Badala ya upendo wangu wao hunishitaki, Ijapokuwa niliwaombea.


Naye akazidi sana kusema, Ijaponipasa kufa nawe, hata hivyo sitakukana kamwe. Na wote wakasema vile vile.


Akasema, Aba, Baba, yote yawezekana kwako; uniondolee kikombe hiki; lakini, si kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe.


Akaenda zake tena, akaomba, akisema neno lilo hilo.