Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 14:32 - Swahili Revised Union Version

32 Kisha wakaja mpaka katika bustani iitwayo Gethsemane; akawaambia wanafunzi wake, Ketini hapa pindi niombapo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

32 Basi, wakafika katika bustani iliyoitwa Gethsemane. Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa wakati mimi nasali.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

32 Basi, wakafika katika bustani iliyoitwa Gethsemane. Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa wakati mimi nasali.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

32 Basi, wakafika katika bustani iliyoitwa Gethsemane. Yesu akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa wakati mimi nasali.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

32 Wakaenda mahali paitwapo Gethsemane. Isa akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa, nami niende nikaombe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

32 Wakaenda mahali paitwapo Gethsemane. Isa akawaambia wanafunzi wake, “Kaeni hapa, nami niende nikaombe.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

32 Kisha wakaja mpaka katika bustani iitwayo Gethsemane; akawaambia wanafunzi wake, Ketini hapa pindi niombapo.

Tazama sura Nakili




Marko 14:32
10 Marejeleo ya Msalaba  

Badala ya upendo wangu wao hunishitaki, Ijapokuwa niliwaombea.


Naye akazidi sana kusema, Ijaponipasa kufa nawe, hata hivyo sitakukana kamwe. Na wote wakasema vile vile.


Akasema, Aba, Baba, yote yawezekana kwako; uniondolee kikombe hiki; lakini, si kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe.


Akaenda zake tena, akaomba, akisema neno lilo hilo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo