Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 13:37 - Swahili Revised Union Version

Na hilo niwaambialo ninyi, nawaambia wote, Kesheni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ninayowaambieni nyinyi, nawaambia wote: Kesheni!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ninayowaambieni nyinyi, nawaambia wote: Kesheni!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ninayowaambieni nyinyi, nawaambia wote: Kesheni!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lile ninalowaambia ninyi, nawaambia watu wote: ‘Kesheni!’ ”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lile ninalowaambia ninyi, nawaambia watu wote: ‘Kesheni!’ ”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na hilo niwaambialo ninyi, nawaambia wote, Kesheni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 13:37
5 Marejeleo ya Msalaba  

Kesheni basi; kwa maana hamjui ni siku ipi atakayokuja Bwana wenu.


Angalieni, kesheni, [ombeni], kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwapo.


Kesheni basi, kwa maana hamjui ajapo bwana wa nyumba, kwamba ni jioni, au kwamba ni usiku wa manane, au awikapo jogoo, au asubuhi;


Naam, tukiujua wakati, kwamba saa ya kuamka katika usingizi imekwisha kuwadia; kwa maana sasa wokovu wetu uko karibu nasi kuliko tulipoanza kuamini