Marko 13:33 - Swahili Revised Union Version33 Angalieni, kesheni, [ombeni], kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwapo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Muwe waangalifu na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Muwe waangalifu na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Muwe waangalifu na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Jihadharini! Kesheni! Kwa maana hamjui wakati ule utakapowadia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Jihadharini! Kesheni! Kwa maana hamjui wakati ule utakapowadia. Tazama suraBIBLIA KISWAHILI33 Angalieni, kesheni, [ombeni], kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwapo. Tazama sura |