Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 13:36 - Swahili Revised Union Version

asije akawasili ghafla akawakuta mmelala.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kesheni ili akija ghafla asije akawakuta mmelala.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kesheni ili akija ghafla asije akawakuta mmelala.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kesheni ili akija ghafla asije akawakuta mmelala.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

akija ghafula asije akawakuta mmelala.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama akija ghafula, asije akawakuta mmelala.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

asije akawasili ghafla akawakuta mmelala.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 13:36
14 Marejeleo ya Msalaba  

Usiku kitandani nilimtafuta mpendwa wa nafsi yangu, Nilimtafuta, nisimpate.


Nilikuwa nimelala, lakini moyo wangu uko macho, Sikiliza! Mpendwa wangu anabisha! Nifungulie, dada yangu, mpenzi wangu, Hua wangu, mkamilifu wangu, Kwa maana kichwa changu kimelowa umande, Nywele zangu zina manyunyu ya usiku.


Walinzi wake ni vipofu, wote pia hawana maarifa; wote ni mbwa walio bubu, hawawezi kulia; huota ndoto, hulala, hupenda usingizi.


Hata bwana arusi alipokawia, wote wakasinzia wakalala usingizi.


Akaja akawakuta wamelala usingizi, akamwambia Petro, Je! Simoni, umelala? Hukuweza kukesha saa moja?


Akaja tena akawakuta wamelala, maana macho yao yamekuwa mazito, wala hawakujua la kumjibu.


Basi, jihadharini, mioyo yenu isije ikalemewa na ulafi, na ulevi, na masumbufu ya maisha haya; siku ile ikawajia ghafla, kama mtego unasavyo;


Alipoondoka katika kuomba kwake, akawajia wanafunzi wake, akawakuta wamelala usingizi kwa huzuni.


Hivyo husema, Amka, wewe usinziaye, Ufufuke katika wafu, Na Kristo atakuangaza.