Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 13:33 - Swahili Revised Union Version

Angalieni, kesheni, [ombeni], kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwapo.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Muwe waangalifu na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Muwe waangalifu na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Muwe waangalifu na kesheni, maana hamjui wakati huo utafika lini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Jihadharini! Kesheni! Kwa maana hamjui wakati ule utakapowadia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Jihadharini! Kesheni! Kwa maana hamjui wakati ule utakapowadia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Angalieni, kesheni, [ombeni], kwa kuwa hamjui wakati ule utakapokuwapo.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 13:33
19 Marejeleo ya Msalaba  

Basi kesheni, kwa sababu hamwijui siku wala saa.


Bali ninyi jihadharini; nimekwisha kuwaonya yote mbele.


Nanyi jiwekeni tayari, kwa kuwa saa msiyodhani ndipo ajapo Mwana wa Mtu.


Bali mvaeni Bwana Yesu Kristo, wala msiuangalie mwili, hata kuwasha tamaa zake.


Kesheni, simameni imara katika imani, iweni na ujasiri, mkawe hodari.


kwa sala zote na maombi mkisali kila wakati katika Roho, mkikesha kwa jambo hilo na kudumu katika kuwaombea watakatifu wote;


Dumuni sana katika kuomba, mkikesha katika kuomba mkiwa na shukrani;


mkiangalia sana mtu asiipungukie neema ya Mungu; shina la uchungu lisije likachipuka na kuwasumbua, na watu wengi wakatiwa unajisi kwa hilo.


Lakini mwisho wa mambo yote umekaribia; basi, iweni na akili, mkeshe katika sala.


Muwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka zunguka, akitafuta mtu ammeze.


(Tazama, naja kama mwizi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)


Uwe mwenye kukesha, ukayaimarishe mambo yaliyobakia, yanayotaka kufa. Maana sikuona matendo yako kuwa yametimilika mbele za Mungu wangu.