Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 13:25 - Swahili Revised Union Version

Na nyota za mbinguni zitakuwa zikianguka, na nguvu zilizo mbinguni zitatikisika.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za mbingu zitatikiswa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za mbingu zitatikiswa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za mbingu zitatikiswa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

nazo nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za anga zitatikisika.’

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

nazo nyota zitaanguka kutoka angani, na nguvu za anga zitatikisika.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na nyota za mbinguni zitakuwa zikianguka, na nguvu zilizo mbinguni zitatikisika.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 13:25
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na jeshi lote la mbinguni litafumuliwa, na mbingu zitakunjwa kama karatasi, na jeshi lao lote litanyauka kama vile jani la mzabibu linyaukavyo na kupukutika, na kama jani la mtini linyaukavyo na kupukutika.


Nami nitaonesha mambo ya ajabu katika mbingu na katika dunia, damu, na moto, na minara ya moshi.


Lakini mara tu, baada ya dhiki ya siku zile, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa mwanga wake, na nyota zitaanguka kutoka mbinguni, na nguvu za mbinguni zitatikisika;


na nyota zikaanguka juu ya nchi kama vile mtini upukutishavyo mapooza yake, utikiswapo na upepo mwingi.