Marko 13:24 - Swahili Revised Union Version24 Lakini siku zile, baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza, na mwezi hatautoa mwanga wake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema24 “Basi, siku hizo, baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza na mwezi hautaangaza. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND24 “Basi, siku hizo, baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza na mwezi hautaangaza. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza24 “Basi, siku hizo, baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza na mwezi hautaangaza. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu24 “Lakini katika siku hizo, baada ya hiyo dhiki, “ ‘jua litatiwa giza nao mwezi hautatoa nuru yake; Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu24 “Lakini katika siku hizo, baada ya hiyo dhiki, “ ‘jua litatiwa giza nao mwezi hautatoa nuru yake; Tazama suraBIBLIA KISWAHILI24 Lakini siku zile, baada ya dhiki hiyo, jua litatiwa giza, na mwezi hautatoa mwanga wake. Tazama sura |