Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 13:17 - Swahili Revised Union Version

Lakini ole wao wenye mimba, nao wanyonyeshao siku hizo!

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ole wao kina mama waja wazito na wanaonyonyesha siku hizo!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ole wao kina mama waja wazito na wanaonyonyesha siku hizo!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ole wao kina mama waja wazito na wanaonyonyesha siku hizo!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ole wao wenye mimba na wale wanaonyonyesha watoto siku hizo!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ole wao wenye mimba na wale wanaonyonyesha watoto siku hizo!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini ole wao wenye mimba, nao wanyonyeshao siku hizo!

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 13:17
12 Marejeleo ya Msalaba  

Mikono ya wanawake wenye huruma Imewatokosa watoto wao wenyewe; Walikuwa ndio chakula chao Katika uharibifu wa binti ya watu wangu.


Samaria atachukua hatia yake; kwa maana amemwasi Mungu wake; wataanguka kwa upanga; watoto wao wachanga watavunjwa vipande vipande, na wanawake wao wenye mimba watatumbuliwa.


Wape, Ee BWANA; utawapa kitu gani? Wape tumbo lenye kuharibu mimba na maziwa makavu.


wakamwambia, Wasikia hawa wasemavyo? Yesu akawaambia, Naam; hamkupata kusoma, Kwa vinywa vya watoto wachanga na wanyonyao umejiandalia sifa?


naye aliye shambani asirudi nyuma kulichukua vazi lake.


Ila ombeni yasitokee hayo wakati wa baridi.


Ole wao wenye mimba na wanaonyonyesha katika siku hizo! Kwa kuwa kutakuwa na shida nyingi katika nchi, na hasira juu ya taifa hili.


Kwa maana tazama, siku zitakuja watakaposema, Heri walio tasa, na matumbo yasiyozaa, na maziwa yasiyonyonyesha.