Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 13:15 - Swahili Revised Union Version

na mtu aliye juu ya dari asishuke, wala asiingie kuchukua kitu nyumbani mwake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Aliye juu ya paa la nyumba asishuke kuingia nyumbani mwake kuchukua kitu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Aliye juu ya paa la nyumba asishuke kuingia nyumbani mwake kuchukua kitu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Aliye juu ya paa la nyumba asishuke kuingia nyumbani mwake kuchukua kitu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Yeyote aliye juu ya dari ya nyumba asishuke au kuingia ndani ili kuchukua chochote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Yeyote aliye juu ya dari ya nyumba asishuke au kuingia ndani ili kuchukua chochote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na mtu aliye juu ya dari asishuke, wala asiingie kuchukua kitu nyumbani mwake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 13:15
13 Marejeleo ya Msalaba  

Hima, ujiponye huko, maana siwezi kufanya neno lolote, hadi uingiapo humo. Kwa hiyo jina la mji ule likaitwa Soari.


Lakini mkewe Lutu, akiwa nyuma ya mumewe, aliangalia nyuma akawa nguzo ya chumvi.


Shetani akamjibu BWANA, na kusema, Ngozi kwa ngozi, naam, yote aliyo nayo mtu atayatoa kwa ajili ya uhai wake.


Mwenye busara huyaona mabaya na kujificha; Bali wajinga huendelea mbele wakaumia.


naye aliye shambani asirudi nyuma kulichukua vazi lake.


Walipokwisha kushiba wakaipunguza shehena ya merikebu, wakiitupa ngano baharini.


Kwa imani Nuhu akiisha kuonywa na Mungu katika habari za mambo yasiyoonekana bado, kwa jinsi alivyomcha Mungu, aliunda safina, apate kuiokoa nyumba yake. Na hivyo akauhukumu makosa ulimwengu, akawa mrithi wa haki ipatikanayo kwa imani.