Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 12:8 - Swahili Revised Union Version

Wakamkamata, wakamwua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hivyo wakamchukua na kumuua, wakamtupa nje ya lile shamba la mizabibu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hivyo wakamchukua na kumuua, wakamtupa nje ya lile shamba la mizabibu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamkamata, wakamwua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 12:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Sikilizeni mfano mwingine. Kulikuwa na mtu mwenye shamba, naye alipanda shamba la mizabibu, akalizungushia ua, akachimba shimo la shinikizo ndani yake, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri.


Wakamkamata, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamwua.


Lakini wale wakulima wakasemezana, Huyu ni mrithi; haya, na tumwue, na urithi utakuwa wetu.


Basi atafanyaje yule bwana wa shamba la mizabibu? Atakuja na kuwaangamiza wale wakulima, na lile shamba la mizabibu atawapa wengine.


Wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamwua. Basi, bwana wa shamba la mizabibu atawatendaje?