Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 20:15 - Swahili Revised Union Version

15 Wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamwua. Basi, bwana wa shamba la mizabibu atawatendaje?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Basi, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamuua.” Yesu akauliza, “Yule mwenye shamba atawafanya nini hao wakulima?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Basi, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamuua.” Yesu akauliza, “Yule mwenye shamba atawafanya nini hao wakulima?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Basi, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamuua.” Yesu akauliza, “Yule mwenye shamba atawafanya nini hao wakulima?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kwa hiyo wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamuua. “Sasa basi yule mwenye shamba la mizabibu atawafanyia nini wapangaji hawa?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kwa hiyo wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamuua.” “Sasa basi yule mwenye shamba la mizabibu atawafanyia nini wapangaji hawa?

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

15 Wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamwua. Basi, bwana wa shamba la mizabibu atawatendaje?

Tazama sura Nakili




Luka 20:15
5 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini, wale wakulima walipomwona, walishauriana wao kwa wao, wakisema, Huyu ndiye mrithi; haya, na tumwue, ili urithi uwe wetu.


Atakuja na kuwaangamiza wakulima wale, na lile shamba la mizabibu atawapa wengine. Waliposikia hayo walisema, Hasha! Yasitukie haya!


Kwa ajili hii Yesu naye, ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe, aliteswa nje ya lango.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo