Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 12:8 - Swahili Revised Union Version

8 Wakamkamata, wakamwua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Kwa hiyo wakamkamata, wakamuua na kumtupa nje ya lile shamba la mizabibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Hivyo wakamchukua na kumuua, wakamtupa nje ya lile shamba la mizabibu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Hivyo wakamchukua na kumuua, wakamtupa nje ya lile shamba la mizabibu.

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

8 Wakamkamata, wakamwua, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu.

Tazama sura Nakili




Marko 12:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Sikilizeni mfano mwingine. Kulikuwa na mtu mwenye shamba, naye alipanda shamba la mizabibu, akalizungushia ua, akachimba shimo la shinikizo ndani yake, akajenga mnara, akapangisha wakulima, akasafiri.


Wakamkamata, wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamwua.


Lakini wale wakulima wakasemezana, Huyu ni mrithi; haya, na tumwue, na urithi utakuwa wetu.


Basi atafanyaje yule bwana wa shamba la mizabibu? Atakuja na kuwaangamiza wale wakulima, na lile shamba la mizabibu atawapa wengine.


Wakamtupa nje ya shamba la mizabibu, wakamwua. Basi, bwana wa shamba la mizabibu atawatendaje?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo