Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 12:42 - Swahili Revised Union Version

Akaja mwanamke mmoja, mjane, maskini, akatia senti mbili, kiasi cha nusu pesa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hapo akaja mama mmoja mjane maskini, akatoa sarafu mbili ndogo za fedha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hapo akaja mama mmoja mjane maskini, akatoa sarafu mbili ndogo za fedha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hapo akaja mama mmoja mjane maskini, akatoa sarafu mbili ndogo za fedha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini mjane mmoja maskini akaja na kuweka sarafu mbili ndogo za shaba zenye thamani ya senti mbili.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini mjane mmoja maskini akaja na kuweka sarafu mbili ndogo za shaba zenye thamani ya senti mbili.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akaja mwanamke mmoja, mjane, maskini, akatia senti mbili, kiasi cha nusu pesa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 12:42
9 Marejeleo ya Msalaba  

Laiti ungekuwa kama ndugu yangu, Aliyeyanyonya matiti ya mamangu! Kama ningekukuta huko nje, Ningekubusu, asinidharau mtu.


Na mtu awaye yote atakayemnywesha mmojawapo wa wadogo hawa angaa kikombe cha maji baridi, kwa kuwa ni mwanafunzi, amin, nawaambia, haitampotea kamwe thawabu yake.


Amin, nakuambia, Hutoki humo kamwe hadi utakapolipa senti ya mwisho.


Naye akaketi kulielekea sanduku la hazina, akatazama jinsi mkutano watiavyo mapesa katika sanduku. Matajiri wengi wakatia mengi.


Akawaita wanafunzi wake, akawaambia, Amin, nawaambia, Huyu mjane maskini ametia zaidi kuliko wote wanaotia katika sanduku la hazina;


Nakuambia, Hutoki humo kamwe hadi umalize kulipa hata senti ya mwisho.


Akamwona mjane mmoja maskini akitia mle senti mbili.


Maana, kama nia ipo, hukubaliwa kwa kadiri ya alivyo navyo mtu, si kwa kadiri ya asivyo navyo.


maana walipokuwa wakijaribiwa kwa dhiki nyingi, wingi wa furaha yao na umaskini wao uliokuwa mwingi uliwaongezea utajiri wa ukarimu wao.