Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 11:8 - Swahili Revised Union Version

Watu wengi wakatandaza mavazi yao njiani, na wengine matawi waliyoyakata mashambani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani; wengine wakatandaza matawi ya miti waliyoyakata mashambani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani; wengine wakatandaza matawi ya miti waliyoyakata mashambani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani; wengine wakatandaza matawi ya miti waliyoyakata mashambani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakatandaza matawi waliyokuwa wamekata mashambani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watu wengi wakatandaza mavazi yao barabarani, na wengine wakatandaza matawi waliyokuwa wamekata mashambani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watu wengi wakatandaza mavazi yao njiani, na wengine matawi waliyoyakata mashambani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 11:8
5 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakafanya haraka, kila mtu akalitwaa vazi lake, na kulitia chini yake juu ya madaraja, wakapiga baragumu wakasema, Yehu ni mfalme.


Nanyi siku ya kwanza mtajipatia matunda ya miti mizuri, na makuti ya mitende, na matawi ya miti minene, na mierebi ya vijitoni; nanyi mtafurahi mbele za BWANA, Mungu wenu, muda wa siku saba.


Watu wengi katika ule mkutano wakatandaza nguo zao njiani; na wengine wakakata matawi ya miti, wakayatandaza njiani.


Wakamletea Yesu yule mwanapunda, wakatandika mavazi yao juu yake; akaketi juu yake.


Nao watu waliotangulia na wale waliofuata wakapaza sauti, Hosana; ndiye mbarikiwa ajaye kwa jina la Bwana;