Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 11:7 - Swahili Revised Union Version

Wakamletea Yesu yule mwanapunda, wakatandika mavazi yao juu yake; akaketi juu yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wakampelekea Yesu huyo mwanapunda. Wakatandika mavazi yao juu ya huyo mwanapunda na Yesu akaketi juu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wakampelekea Yesu huyo mwanapunda. Wakatandika mavazi yao juu ya huyo mwanapunda na Yesu akaketi juu yake.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wakampelekea Yesu huyo mwanapunda. Wakatandika mavazi yao juu ya huyo mwanapunda na Yesu akaketi juu yake.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kisha wakamleta huyo mwana-punda kwa Isa na kutandika mavazi yao juu yake, naye akampanda.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kisha wakamleta huyo mwana-punda kwa Isa na kutandika mavazi yao juu yake, naye akampanda.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakamletea Yesu yule mwanapunda, wakatandika mavazi yao juu yake; akaketi juu yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 11:7
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi wakafanya haraka, kila mtu akalitwaa vazi lake, na kulitia chini yake juu ya madaraja, wakapiga baragumu wakasema, Yehu ni mfalme.


Furahi sana, Ee binti Sayuni; Piga kelele, Ee binti Yerusalemu; Tazama, mfalme wako anakuja kwako; Ni mwenye haki, naye ana wokovu; Ni mnyenyekevu, amepanda punda, Naam, mwanapunda, mtoto wa punda.


Wakawaambia kama Yesu alivyowaagiza, nao wakawaruhusu.


Watu wengi wakatandaza mavazi yao njiani, na wengine matawi waliyoyakata mashambani.