Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 11:30 - Swahili Revised Union Version

Ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Nijibuni.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka mbinguni ama kwa watu? Nijibuni.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka mbinguni ama kwa watu? Nijibuni.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Je, mamlaka ya Yohane ya kubatiza yalitoka mbinguni ama kwa watu? Nijibuni.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Je, ubatizo wa Yahya ulitoka mbinguni au kwa wanadamu? Niambieni!”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Niambieni, je, ubatizo wa Yahya ulitoka mbinguni au kwa wanadamu?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Nijibuni.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 11:30
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akawaambia, Nitawauliza neno moja, nanyi mnijibu, kisha nitawaambia ni kwa mamlaka gani nayatenda haya.


Wakasemezana wao kwa wao, wakisema, Kama tukisema, Ulitoka mbinguni, atasema, Mbona, basi, hamkumwamini?


Lakini nawaambia, Eliya amekwisha kuja, nao wakamtenda yote waliyoyataka kama alivyoandikiwa.


Basi sasa nawaambia, Jiepusheni na watu hawa, waacheni; kwa kuwa shauri hili au kazi hii ikiwa imetoka kwa binadamu, itavunjwa,