Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 9:13 - Swahili Revised Union Version

13 Lakini nawaambia, Eliya amekwisha kuja, nao wakamtenda yote waliyoyataka kama alivyoandikiwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

13 Lakini nawaambieni, Elia amekwisha kuja, nao wakamtendea walivyotaka kama ilivyoandikwa juu yake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

13 Lakini nawaambieni, Elia amekwisha kuja, nao wakamtendea walivyotaka kama ilivyoandikwa juu yake.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

13 Lakini nawaambieni, Elia amekwisha kuja, nao wakamtendea walivyotaka kama ilivyoandikwa juu yake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

13 Lakini nawaambia, Ilya amekwisha kuja, nao wakamtendea walivyopenda, kama ilivyoandikwa kumhusu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

13 Lakini ninawaambia, Ilya amekwisha kuja, nao wakamtendea walivyopenda, kama ilivyoandikwa kumhusu yeye.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

13 Lakini nawaambia, Eliya amekwisha kuja, nao wakamtenda yote waliyoyataka kama alivyoandikiwa.

Tazama sura Nakili




Marko 9:13
9 Marejeleo ya Msalaba  

Na ikiwa mnataka kukubali, yeye ndiye Eliya atakayekuja.


Akajibu akawaambia, Ni kweli Eliya yuaja kwanza, na kurejesha upya yote; lakini, pamoja na haya, ameandikiwaje Mwana wa Adamu ya kwamba atateswa sana na kudharauliwa?


Walipowafikia wanafunzi, waliona mkutano mkuu wakiwazunguka, na waandishi wakijadiliana nao;


Naye atatangulia mbele zake katika roho ya Eliya, na nguvu zake, ili kuigeuza mioyo ya baba iwaelekee watoto, na kuwatilia waasi akili za wenye haki, na kumwekea Bwana tayari watu waliotayarishwa.


Ni yupi katika manabii ambaye baba zenu hawakumwudhi? Nao waliwaua wale waliotabiri habari za kuja kwake yule Mwenye Haki; ambaye ninyi sasa mmekuwa wasaliti wake, mkamwua;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo