Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 10:7 - Swahili Revised Union Version

Kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Hivyo mwanamume atawaacha baba yake na mama yake, ataungana na mke wake,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

‘Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na kuambatana na mkewe,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa sababu hii mwanaume atamwacha baba yake na mama yake na kuambatana na mkewe, na hao wawili watakuwa mwili mmoja.’

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 10:7
3 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa hiyo mwanamume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.


Kwa sababu hiyo mtu atamwacha baba yake na mama yake, ataambatana na mkewe na hao wawili watakuwa mwili mmoja.