Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 10:20 - Swahili Revised Union Version

Akamwambia, Mwalimu, haya yote nimeyashika tangu utoto wangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Naye akamjibu, “Mwalimu, hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Naye akamjibu, “Mwalimu, hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Naye akamjibu, “Mwalimu, hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akamjibu, “Mwalimu, amri hizi zote nimezishika tangu nikiwa mtoto.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akamjibu, “Mwalimu, amri hizi zote nimezishika tangu nikiwa mtoto.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akamwambia, Mwalimu, haya yote nimeyashika tangu utoto wangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 10:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Walakini wanitafuta kila siku; hupenda kujua njia zangu; kama vile taifa waliotenda haki, wasioacha sheria ya Mungu wao, hutaka kwangu amri za haki; hufurahi kumkaribia Mungu.


Tena nitakufanya kuwa ukiwa, na aibu, kati ya mataifa wakuzungukao, machoni pa watu wote wapitao.


Je! Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi. Lakini ninyi mwasema, Tumekuibia kwa namna gani? Mmeniibia zaka na dhabihu.


Yule kijana akamwambia, Haya yote nimeyashika; nimepungukiwa na nini tena?


Yesu akamkazia macho, akampenda, akamwambia, Umepungukiwa na neno moja. Nenda, ukauze ulivyo navyo vyote, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate.


Naye akitaka kujidai haki, alimwuliza Yesu, Na jirani yangu ni nani?


Nami nilikuwa hai hapo kwanza bila sheria; ila ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, nami nikafa.


kwa habari ya juhudi, mwenye kuliudhi kanisa, kwa habari ya haki ipatikanayo kwa sheria sikuwa na hatia.


walio na utaua kwa nje, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao.