Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Marko 10:20 - Swahili Revised Union Version

20 Akamwambia, Mwalimu, haya yote nimeyashika tangu utoto wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Naye akamjibu, “Mwalimu, hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Naye akamjibu, “Mwalimu, hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Naye akamjibu, “Mwalimu, hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Akamjibu, “Mwalimu, amri hizi zote nimezishika tangu nikiwa mtoto.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Akamjibu, “Mwalimu, amri hizi zote nimezishika tangu nikiwa mtoto.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Akamwambia, Mwalimu, haya yote nimeyashika tangu utoto wangu.

Tazama sura Nakili




Marko 10:20
11 Marejeleo ya Msalaba  

Walakini wanitafuta kila siku; hupenda kujua njia zangu; kama vile taifa waliotenda haki, wasioacha sheria ya Mungu wao, hutaka kwangu amri za haki; hufurahi kumkaribia Mungu.


Tena nitakufanya kuwa ukiwa, na aibu, kati ya mataifa wakuzungukao, machoni pa watu wote wapitao.


Je! Mwanadamu atamwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia mimi. Lakini ninyi mwasema, Tumekuibia kwa namna gani? Mmeniibia zaka na dhabihu.


Yule kijana akamwambia, Haya yote nimeyashika; nimepungukiwa na nini tena?


Yesu akamkazia macho, akampenda, akamwambia, Umepungukiwa na neno moja. Nenda, ukauze ulivyo navyo vyote, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate.


Naye akitaka kujidai haki, alimwuliza Yesu, Na jirani yangu ni nani?


Nami nilikuwa hai hapo kwanza bila sheria; ila ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, nami nikafa.


kwa habari ya juhudi, mwenye kuliudhi kanisa, kwa habari ya haki ipatikanayo kwa sheria sikuwa na hatia.


walio na utaua kwa nje, lakini wakikana nguvu zake; hao nao ujiepushe nao.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo