Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Mathayo 19:20 - Swahili Revised Union Version

20 Yule kijana akamwambia, Haya yote nimeyashika; nimepungukiwa na nini tena?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 Huyo kijana akamwambia, “Hayo yote nimeyazingatia; nifanye nini zaidi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 Huyo kijana akamwambia, “Hayo yote nimeyazingatia; nifanye nini zaidi?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 Huyo kijana akamwambia, “Hayo yote nimeyazingatia; nifanye nini zaidi?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Yule kijana akasema, “Hizi zote nimezishika. Je, bado nimepungukiwa na nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Yule kijana akasema, “Hizi zote nimezishika. Je, bado nimepungukiwa na nini?”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

20 Yule kijana akamwambia, Haya yote nimeyashika; nimepungukiwa na nini tena?

Tazama sura Nakili




Mathayo 19:20
12 Marejeleo ya Msalaba  

Waheshimu baba yako na mama yako, na, Mpende jirani yako kama nafsi yako.


Yesu akamwambia, Ukitaka kuwa mkamilifu, nenda ukauze ulivyo navyo, uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni; kisha njoo unifuate.


Akamjibu baba yake, akasema, Tazama, mimi nimekutumikia miaka mingapi hii, wala sijakosa amri yako wakati wowote, lakini hujanipa mimi mwana-mbuzi, nisherehekee na rafiki zangu;


Nawaambia, Vivyo hivyo kutakuwa na furaha mbinguni kwa ajili ya mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa ajili ya wenye haki tisini na tisa ambao hawana haja ya kutubu.


Nao walipozidi kumhoji, alijiinua, akawaambia, Yeye asiye na dhambi miongoni mwenu na awe wa kwanza wa kumtupia jiwe.


Nami nilikuwa hai hapo kwanza bila sheria; ila ilipokuja ile amri, dhambi ilihuika, nami nikafa.


Hivyo torati imekuwa kiongozi kutuleta kwa Kristo, ili tuhesabiwe haki kwa imani.


kwa habari ya juhudi, mwenye kuliudhi kanisa, kwa habari ya haki ipatikanayo kwa sheria sikuwa na hatia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo