Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Marko 10:16 - Swahili Revised Union Version

Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kisha akawapokea watoto hao, akawawekea mikono, akawabariki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kisha akawapokea watoto hao, akawawekea mikono, akawabariki.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kisha akawapokea watoto hao, akawawekea mikono, akawabariki.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Akawachukua watoto mikononi mwake, akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Akawachukua watoto mikononi mwake, akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Marko 10:16
8 Marejeleo ya Msalaba  

Atalilisha kundi lake kama mchungaji, Atawakusanya wana-kondoo mikononi mwake; Na kuwachukua kifuani mwake, Nao wanyonyeshao atawaongoza polepole.


Nao walipokuwa wakila, alitwaa mkate, akabariki, akaumega, akawapa, akasema, Twaeni; huu ndio mwili wangu.


Akatwaa kitoto, akamweka katikati yao, akamkumbatia, akawaambia,


Utabarikiwa mjini, utabarikiwa na mashambani.