Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:57 - Swahili Revised Union Version

Ulinikaribia siku ile nilipokulilia; Ukasema, Usiogope.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nilipokuita ulinijia karibu ukaniambia, ‘Usiogope!’

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nilipokuita ulinijia karibu ukaniambia, ‘Usiogope!’

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nilipokuita ulinijia karibu ukaniambia, ‘Usiogope!’

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ulikuja karibu nilipokuita, nawe ukasema, “Usiogope.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ulikuja karibu nilipokuita, nawe ukasema, “Usiogope.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ulinikaribia siku ile nilipokulilia; Ukasema, Usiogope.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:57
16 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamtokea usiku uleule, akasema, Mimi ni Mungu wa Abrahamu baba yako, usiogope, maana mimi ni pamoja nawe, nami nitakubariki, na kuzidisha uzao wako kwa ajili ya Abrahamu mtumishi wangu.


Isaya akawaambia, Mwambieni bwana wenu maneno haya; BWANA asema hivi, Usiyaogope maneno hayo uliyoyasikia, ambayo watumishi wa mfalme wa Ashuru wamenitukana.


Siku ile niliyokuita uliniitikia, Ukanifariji nafsi kwa kunitia nguvu.


BWANA yuko karibu na wote wamwitao, Wote wamwitao kwa uaminifu.


Uikaribie nafsi yangu, uikomboe, Kwa sababu ya adui zangu unifidie.


usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kulia wa haki yangu.


Usiogope, Yakobo uliye mdudu, nanyi watu wa Israeli; mimi nitakusaidia, asema BWANA, na mkombozi wako ni Mtakatifu wa Israeli.


Ndipo utaita, na BWANA ataitika; utalia, naye atasema, Mimi hapa. Kama ukiiondoa nira; isiwepo kati yako, wala kunyosha kidole, wala kunena maovu;


Haya basi, wewe jifunge viuno, ukaondoke ukawaambie maneno yote niliyokuamuru; usifadhaike kwa ajili yao, nisije nikakufadhaisha wewe mbele yao.


Bwana akamwambia Paulo kwa maono usiku, Usiogope, bali nena, wala usinyamaze,


akaniambia, Usiogope, Paulo, huna budi kusimama mbele ya Kaisari; tena, tazama, Mungu amekupa watu wote wanaosafiri pamoja nawe.


(kwa maana ile sheria haikukamilisha neno); na pamoja na hayo kuliingizwa matumaini yaliyo mazuri zaidi, ambayo kwa hayo tunamkaribia Mungu.


Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi. Itakaseni mikono yenu, enyi wenye dhambi, na kuisafisha mioyo yenu, enyi wenye nia mbili.


Nami nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama mtu aliyekufa. Akaweka mkono wake wa kulia juu yangu, akisema, Usiogope, Mimi ni wa kwanza na wa mwisho,


Usiogope mambo yatakayokupata; tazama, huyo Ibilisi atawatupa baadhi yenu gerezani ili mjaribiwe, nanyi mtakuwa na dhiki siku kumi. Uwe mwaminifu hata kufa, nami nitakupa taji la uzima.