Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:55 - Swahili Revised Union Version

Nililiitia jina lako, BWANA, kutoka lile shimo Liendalo chini kabisa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Kutoka chini shimoni nilikulilia ee Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Kutoka chini shimoni nilikulilia ee Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Kutoka chini shimoni nilikulilia ee Mwenyezi-Mungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nililiitia jina lako, Ee Mwenyezi Mungu, kutoka vina vya shimo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nililiitia jina lako, Ee bwana, kutoka vina vya shimo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nililiitia jina lako, BWANA, kutoka lile shimo Liendalo chini kabisa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:55
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mimi umenilaza chini katika shimo, Katika mahali penye giza vilindini.


Basi wakamtwaa Yeremia, wakamtupa katika shimo la Malkiya, mwana wa mfalme, lililo katika ukumbi wa walinzi; wakamshusha kwa kamba. Na mle shimoni hamkuwa na maji, ila matope tu; naye Yeremia akazama katika matope hayo.