Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:52 - Swahili Revised Union Version

Walio adui zangu bila sababu Wameniwinda sana kama ndege;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Nimewindwa kama ndege na hao wanichukiao bila sababu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Nimewindwa kama ndege na hao wanichukiao bila sababu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Nimewindwa kama ndege na hao wanichukiao bila sababu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wale waliokuwa adui zangu bila sababu wameniwinda kama ndege.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wale waliokuwa adui zangu bila sababu wameniwinda kama ndege.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Walio adui zangu bila sababu Wameniwinda sana kama ndege;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:52
15 Marejeleo ya Msalaba  

Naam, kwa maneno ya chuki wamenizunguka, Wamepigana nami bure.


BWANA ndiye niliyemkimbilia. Mbona mnaiambia nafsi yangu, Kimbia kama ndege mlimani kwenu?


Wakuu wameniudhi bure, Ila moyo wangu unakaa kwa kicho cha maneno yako.


Nafsi yetu imeokoka kama ndege Katika mtego wa wawindaji, Mtego umevunjika, nasi tumeokoka.


Walio adui zangu bure wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu wasining'ong'e.


Maana bila sababu wamenifichia wavu, Bila sababu wameichimbia shimo nafsi yangu.


Wanaonichukia bure ni wengi Kuliko nywele za kichwa changu. Watakao kunikatilia mbali ni wengi, Adui zangu kwa sababu isiyo kweli. Hata mimi nililipishwa kwa nguvu Vitu nisivyovichukua.


Pamoja na haya Yeremia akamwambia mfalme Sedekia, Nimefanya kosa gani juu yako, au juu ya watumishi wako, au juu ya watu hawa, hata mkanitia gerezani?


Jicho langu lanitia huzuni nafsini mwangu, Kwa ajili ya kuangamizwa kwa binti wa watu wangu.


Lakini litimie lile neno lililoandikwa katika torati yao, Walinichukia bure.