Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Maombolezo 3:53 - Swahili Revised Union Version

53 Wameukatilia mbali uhai wangu gerezani, Na kutupa jiwe juu yangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

53 Walinitupa shimoni nikiwa hai na juu yangu wakarundika mawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

53 Walinitupa shimoni nikiwa hai na juu yangu wakarundika mawe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

53 Walinitupa shimoni nikiwa hai na juu yangu wakarundika mawe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

53 Walijaribu kukomesha maisha yangu ndani ya shimo na kunitupia mawe;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

53 Walijaribu kukomesha maisha yangu ndani ya shimo na kunitupia mawe;

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

53 Wameukatilia mbali uhai wangu gerezani, Na kutupa jiwe juu yangu.

Tazama sura Nakili




Maombolezo 3:53
9 Marejeleo ya Msalaba  

Basi, Yeremia alipokuwa ameingia katika nyumba ya shimo, na katika vyumba vya ndani; na Yeremia alipokuwa amekaa humo siku nyingi;


Na sasa unisikilize, Ee bwana wangu mfalme; maombi yangu yakapate kibali mbele yako; usinirudishe nyumbani mwa Yonathani, mwandishi, nisije nikafa humo.


Basi wakamtwaa Yeremia, wakamtupa katika shimo la Malkiya, mwana wa mfalme, lililo katika ukumbi wa walinzi; wakamshusha kwa kamba. Na mle shimoni hamkuwa na maji, ila matope tu; naye Yeremia akazama katika matope hayo.


Ee bwana wangu, mfalme, watu hawa wametenda mabaya katika mambo yote waliyomtenda Yeremia, nabii, ambaye wamemtupa shimoni; naye hakosi atakufa pale alipo, kwa sababu ya njaa; kwa kuwa hakuna mkate kabisa katika mji.


Likaletwa jiwe, likawekwa mdomoni mwa lile tundu; naye mfalme akalitia mhuri kwa mhuri wake mwenyewe, na kwa mhuri wa wakuu wake, lisibadilike neno lolote katika habari za Danieli.


Kisha mfalme akaenda nyumbani kwake, akakesha usiku kucha, akafunga; na vinanda havikuletwa mbele yake; na usingizi wake ukampaa.


Ndipo Yona akamwomba BWANA, Mungu wake, akiwa katika tumbo la yule samaki,


akauweka katika kaburi lake jipya, alilokuwa amelichonga mwambani; akavingirisha jiwe kubwa mbele ya mlango wa kaburi, akaenda zake.


Wakaenda, wakalilinda kaburi salama, kwa kulitia lile jiwe mhuri, pamoja na kuwaweka wale askari walinzi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo