Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:49 - Swahili Revised Union Version

Jicho langu latoka machozi lisikome, Wala haliachi;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

“Machozi yatanitoka bila kikomo,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

“Machozi yatanitoka bila kikomo,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

“Machozi yatanitoka bila kikomo,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Macho yangu yatatiririka machozi bila kukoma, bila kupata nafuu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Macho yangu yatatiririka machozi bila kukoma, bila kupata nafuu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Jicho langu latoka machozi lisikome, Wala haliachi;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:49
4 Marejeleo ya Msalaba  

Katika siku ya taabu yangu nilimtafuta Bwana; Mkono wangu ulinyoshwa usiku, bila kulegea; Nafsi yangu ilikataa kufarijika.


Nawe utawaambia neno hili, Macho yangu na yatiririke machozi, usiku na mchana, wala yasikome; kwa maana bikira, binti ya watu wangu, amevunjika mavunjiko makuu, kwa jeraha lisiloponyeka.


Mimi ninayalilia mambo hayo; Jicho langu, jicho langu linachuruzika machozi; Kwa kuwa mfariji yuko mbali nami, Ambaye ilimpasa kunihuisha nafsi; Watoto wangu wameachwa peke yao, Kwa sababu huyo adui ameshinda.


Mioyo yao ilimlilia Bwana; Ee ukuta wa binti Sayuni! Machozi na yachuruzike kama mto Mchana na usiku; Usijipatie kupumzika; Mboni ya jicho lako isikome.