Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:47 - Swahili Revised Union Version

Hofu imetujilia na shimo, Ukiwa na uharibifu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kitisho na hofu vimetuandama, tumepatwa na maafa na maangamizi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kitisho na hofu vimetuandama, tumepatwa na maafa na maangamizi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kitisho na hofu vimetuandama, tumepatwa na maafa na maangamizi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula, uharibifu na maangamizi.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tumeteseka kwa hofu kuu na shida ya ghafula, uharibifu na maangamizi.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hofu imetujilia na shimo, Ukiwa na uharibifu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:47
7 Marejeleo ya Msalaba  

Mambo haya mawili yamekupata; Ni nani awezaye kukusikitikia? Ukiwa na uharibifu, na njaa na upanga; Niwezeje kukutuliza?


Toka juu amepeleka moto mifupani mwangu, Nao umeishinda; Ametandika wavu aninase miguu, Amenirudisha nyuma; Amenifanya kuwa mtu wa pekee, Na mgonjwa mchana kutwa.


Njia za Sayuni zaomboleza, Kwa kuwa hakuna ajaye kwa sikukuu; Malango yake yote yamekuwa ukiwa, Makuhani wake hupiga kite; Wanawali wake wanahuzunika; Na yeye mwenyewe huona uchungu.


kwa kuwa ndivyo itakavyowajia watu wote wakaao juu ya uso wa dunia nzima.