Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:4 - Swahili Revised Union Version

Amechakaza ngozi yangu na nyama yangu; Ameivunja mifupa yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amenichakaza ngozi na nyama, mifupa yangu ameivunja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amenichakaza ngozi na nyama, mifupa yangu ameivunja.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amenichakaza ngozi na nyama, mifupa yangu ameivunja.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amefanya ngozi yangu na nyama yangu kuchakaa na ameivunja mifupa yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amefanya ngozi yangu na nyama yangu kuchakaa na ameivunja mifupa yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amechakaza ngozi yangu na nyama yangu; Ameivunja mifupa yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:4
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ngozi yangu ni nyeusi, nayo yanitoka, Na mifupa yangu imeteketea kwa joto.


Nimemwagika kama maji, Mifupa yangu yote imeteguka, Moyo wangu umekuwa kama nta, Na kuyeyuka ndani ya moyo wangu.


Nilipokosa kuungama dhambi zangu, mifupa yangu ilipooza Kwa kulia kwangu mchana kutwa.


Unifanye kusikia furaha na shangwe, Mifupa uliyoiponda ifurahi.


Nilijituliza hata asubuhi; kama simba, anaivunja mifupa yangu yote; Tangu mchana hata usiku wanimaliza.


Israeli ni kondoo aliyetawanywa; simba wamemfukuzia mbali; kwanza mfalme wa Ashuru amemla, na mwisho Nebukadneza huyu, mfalme wa Babeli, amemvunja mifupa yake.