Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:35 - Swahili Revised Union Version

Kuipotosha hukumu ya mtu Mbele zake Aliye Juu,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

haki za binadamu zinapopotoshwa mbele yake Mungu Mkuu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

haki za binadamu zinapopotoshwa mbele yake Mungu Mkuu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

haki za binadamu zinapopotoshwa mbele yake Mungu Mkuu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kumnyima mtu haki zake mbele za Aliye Juu Sana,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kumnyima mtu haki zake mbele za Aliye Juu Sana,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kuipotosha hukumu ya mtu Mbele zake Aliye Juu,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:35
6 Marejeleo ya Msalaba  

Najua ya kuwa BWANA atamfanyia mnyonge hukumu, Na wahitaji haki yao.


Yeye asemaye kwamba asiye haki ana haki; naye asemaye kwamba mwenye haki hana haki; Hao wote wawili ni chukizo kwa BWANA.


ili kumpotosha mhitaji asipate haki yake, na kuwanyang'anya maskini wa watu wangu haki yao; ili wajane wawe mateka yao, na kuwafanya yatima waliofiwa na baba zao kuwa mawindo yao!


Wafungwa wote wa duniani Kupondwa chini kwa miguu,


Kwa habari zako, Ee mfalme, Mungu Aliye Juu alimpa Nebukadneza, baba yako, ufalme, na ukuu, na fahari, na utukufu;


Pakiwa na mashindano kati ya watu, wakaenda maamuzini, na hao waamuzi wakawaamua; na wampe haki mwenye haki, na wamhukumie makosa yule mwovu;