Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:29 - Swahili Revised Union Version

Na atie kinywa chake mavumbini; Ikiwa yamkini liko tumaini.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yampasa kuinama na kujinyenyekesha, huenda ikawa tumaini bado lipo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yampasa kuinama na kujinyenyekesha, huenda ikawa tumaini bado lipo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yampasa kuinama na kujinyenyekesha, huenda ikawa tumaini bado lipo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hata azike uso wake mavumbini bado tumaini litakuwepo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Na azike uso wake mavumbini bado panawezekana kuwa na matumaini.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na atie kinywa chake mavumbini; Ikiwa yamkini liko tumaini.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:29
12 Marejeleo ya Msalaba  

Hata alipokuwa katika taabu, akamsihi BWANA, Mungu wake, akajinyenyekeza sana mbele za Mungu wa baba zake.


Nimeshona nguo ya magunia juu ya mwili wangu, Na nguvu zangu nimezibwaga mavumbini.


Tazama, mimi si kitu kabisa, nikujibu nini? Naweka mkono wangu kinywani pangu.


Tena liko tumaini kwa siku zako za mwisho, asema BWANA; na watoto wako watarejea hata mpaka wao wenyewe.


upate kukumbuka, na kufadhaika, usifumbue kinywa chako tena, kwa sababu ya aibu yako; hapo nitakapokusamehe yote uliyoyatenda, asema Bwana MUNGU.


Ni nani ajuaye kwamba hatarudi na kugeuka, na kutuachia baraka nyuma yake, naam, sadaka ya unga, na sadaka ya kinywaji, kwa BWANA, Mungu wenu?


Ni nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali, ili msiangamizwe?


Mtafuteni BWANA, enyi nyote mlio wanyenyekevu wa dunia, ninyi mliozitenda hukumu zake; itafuteni haki, utafuteni unyenyekevu; huenda mtafichwa katika siku ya hasira ya BWANA.


Lakini yule mtoza ushuru alisimama mbali, wala hakuthubutu hata kuinua macho yake mbinguni, bali alijipigapiga kifua akisema, Ee Mungu, uniwie radhi mimi mwenye dhambi.


Basi twajua ya kuwa mambo yote inenayo torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, ili kila kinywa kifumbwe, na ulimwengu wote uwe chini ya hukumu ya Mungu;