Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yona 3:9 - Swahili Revised Union Version

9 Ni nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali, ili msiangamizwe?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Huenda Mungu akabadili nia yake, akaacha kutukasirikia, tusije tukaangamia!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Huenda Mungu akabadili nia yake, akaacha kutukasirikia, tusije tukaangamia!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Huenda Mungu akabadili nia yake, akaacha kutukasirikia, tusije tukaangamia!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Ni nani ajuaye? Huenda Mungu akaghairi kwa huruma yake akaacha hasira yake kali ili tusiangamie.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Ni nani ajuaye? Huenda Mungu akaghairi kwa huruma yake akaacha hasira yake kali ili tusiangamie.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

9 Ni nani ajuaye kwamba Mungu hatageuka na kughairi, na kuiacha hasira yake kali, ili msiangamizwe?

Tazama sura Nakili




Yona 3:9
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Mtoto alipokuwa hai, nilifunga, nikalia; kwa maana nilisema, Ni nani ajuaye kama BWANA atanihurumia, mtoto apate kuishi?


Akawakumbukia agano lake; Akawahurumia kwa wingi wa fadhili zake;


Umeiondoa ghadhabu yako yote, Umerudi na kuuacha ukali wa hasira yako.


Urudi, Ee BWANA utakasirika hadi lini? Wahurumie watumishi wako.


Basi sasa, tengenezeni njia zenu, na matendo yenu, mkaisikilize sauti ya BWANA, Mungu wenu; naye BWANA atayaghairi mabaya aliyoyanena juu yenu.


Kwa sababu hiyo, Ee mfalme, shauri langu lipate kibali kwako; uache dhambi zako kwa kutenda haki, uache maovu yako kwa kuwahurumia maskini; huenda ukapata kuzidishiwa siku zako za fanaka.


Yachukieni mabaya; yapendeni mema; mkaithibitishe haki langoni; yamkini kwamba BWANA, Mungu wa majeshi, atawafanyia fadhili mabaki ya Yusufu.


Basi wakamkamata Yona, wakamtupa baharini, nayo bahari ikaacha kuchafuka.


Basi nahodha akamwendea, akamwambia, Una nini, Ewe ulalaye usingizi? Amka, ukamwombe Mungu wako; labda Mungu huyo atatukumbuka, tusipotee.


Akamwomba BWANA, akasema, Nakuomba, Ee BWANA; sivyo hivyo nilivyosema, hapo nilipokuwa katika nchi yangu? Hii ndiyo sababu nilifanya haraka kukimbilia Tarshishi; kwa maana nilijua ya kuwa wewe u Mungu mwenye neema, umejaa huruma, si mwepesi wa hasira, u mwingi wa rehema, nawe waghairi mabaya.


Mtafuteni BWANA, enyi nyote mlio wanyenyekevu wa dunia, ninyi mliozitenda hukumu zake; itafuteni haki, utafuteni unyenyekevu; huenda mtafichwa katika siku ya hasira ya BWANA.


Kwa hiyo mtafanya sanamu za majipu yenu, na sanamu za panya wenu wanaoiharibu nchi; nanyi mtamtukuza huyo Mungu wa Israeli; huenda ataupunguza uzito wa mkono wake juu yenu, na juu ya miungu yenu, na juu ya nchi yenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo