Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Maombolezo 3:15 - Swahili Revised Union Version

Amenijaza uchungu, Amenikinaisha kwa pakanga.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amenijaza taabu, akanishibisha uchungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amenijaza taabu, akanishibisha uchungu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amenijaza taabu, akanishibisha uchungu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amenijaza kwa majani machungu na kunishibisha kwa nyongo.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amenijaza kwa majani machungu na kunishibisha kwa nyongo.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amenijaza uchungu, Amenikinaisha kwa pakanga.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Maombolezo 3:15
12 Marejeleo ya Msalaba  

Haniachi nipate kuvuta pumzi, Lakini hunijaza uchungu.


Umewaonesha watu wako mazito, Na kutunywesha mvinyo ya kutuyumbisha.


Nimehesabiwa pamoja nao washukao shimoni; Nimekuwa kama mtu asiye na msaada.


Basi BWANA wa majeshi asema hivi, kuhusu habari ya manabii, Tazama, nitawalisha pakanga, nitawanywesha maji ya uchungu; kwa kuwa kutoka kwa manabii hao wa Yerusalemu kukufuru kumeingia katika nchi yote.


Nawe utawaambia hivi, BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Nyweni, na kulewa, na kutapika, na kuanguka msiinuke tena, kwa sababu ya upanga nitakaoutuma kati yenu.


Njia yako na matendo yako yamekupatia haya; huu ndio uovu wako; kwa maana ni uchungu, hakika unafikia hata moyo wako.


bali wameenda katika ushupavu wa mioyo yao wenyewe, na kuandamana na Mabaali, kama walivyofundishwa na baba zao.


Basi, BWANA wa majeshi, Mungu wa Israeli, asema hivi, Tazama, nitawalisha pakanga, naam, watu hawa, nami nitawapa maji yenye sumu wayanywe.


Kumbuka mateso yangu, na msiba wangu, Pakanga na nyongo.


Akawaambia, Msiniite Naomi, niiteni Mara kwa sababu Mwenyezi Mungu amenitenda mambo machungu sana.