Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 9:40 - Swahili Revised Union Version

Nikawasihi wanafunzi wako wamtoe, wasiweze.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Niliwaomba wanafunzi wako wamfukuze, lakini hawakuweza.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Niliwaomba wanafunzi wako wamfukuze, lakini hawakuweza.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Niliwaomba wanafunzi wako wamfukuze, lakini hawakuweza.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo mchafu, lakini hawakuweza.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo mchafu, lakini hawakuweza.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nikawasihi wanafunzi wako wamtoe, wasiweze.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 9:40
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na Gehazi akawatangulia, akaiweka ile fimbo juu ya uso wa mtoto; lakini hapakuwa na sauti, wala majibu. Basi akarudi ili kumlaki, akamwambia, akisema, Mtoto hakuamka.


Yesu akawaambia, Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amin, nawaambia, Mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu. [


Akawaita wale Kumi na Wawili, akawapa uwezo na mamlaka juu ya pepo wote na kuponya maradhi.


Na tazama, pepo humpagaa, naye mara hupiga kelele; tena humtia kifafa, huku anatokwa na povu, wala hamwachi ila kwa shida, akimchubua-chubua.


Yesu akajibu akasema, Enyi kizazi kisicho na imani, kilichopotoka, nitakaa nanyi na kuwachukulia hata lini? Mlete mwanao hapa.