Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 9:40 - Swahili Revised Union Version

40 Nikawasihi wanafunzi wako wamtoe, wasiweze.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Niliwaomba wanafunzi wako wamfukuze, lakini hawakuweza.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Niliwaomba wanafunzi wako wamfukuze, lakini hawakuweza.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Niliwaomba wanafunzi wako wamfukuze, lakini hawakuweza.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo mchafu, lakini hawakuweza.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Niliwaomba wanafunzi wako wamtoe huyo pepo mchafu, lakini hawakuweza.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

40 Nikawasihi wanafunzi wako wamtoe, wasiweze.

Tazama sura Nakili




Luka 9:40
7 Marejeleo ya Msalaba  

Na Gehazi akawatangulia, akaiweka ile fimbo juu ya uso wa mtoto; lakini hapakuwa na sauti, wala majibu. Basi akarudi ili kumlaki, akamwambia, akisema, Mtoto hakuamka.


Yesu akawaambia, Kwa sababu ya upungufu wa imani yenu. Kwa maana, amin, nawaambia, Mkiwa na imani kiasi cha punje ya haradali mtauambia mlima huu, Ondoka hapa uende kule; nao utaondoka; wala halitakuwako neno lisilowezekana kwenu. [


Akawaita wale Kumi na Wawili, akawapa uwezo na mamlaka juu ya pepo wote na kuponya maradhi.


Na tazama, pepo humpagaa, naye mara hupiga kelele; tena humtia kifafa, huku anatokwa na povu, wala hamwachi ila kwa shida, akimchubua-chubua.


Yesu akajibu akasema, Enyi kizazi kisicho na imani, kilichopotoka, nitakaa nanyi na kuwachukulia hata lini? Mlete mwanao hapa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo