Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 9:2 - Swahili Revised Union Version

Akawatuma wautangaze ufalme wa Mungu, na kuponya wagonjwa.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Halafu akawatuma waende kuhubiri ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Halafu akawatuma waende kuhubiri ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Halafu akawatuma waende kuhubiri ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kisha akawatuma waende wakahubiri ufalme wa Mungu na kuponya wagonjwa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kisha akawatuma waende wakahubiri Ufalme wa Mwenyezi Mungu na kuponya wagonjwa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Akawatuma wautangaze ufalme wa Mungu, na kuponya wagonjwa.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 9:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Hao Kumi na Wawili Yesu aliwatuma, akawaagiza, akisema, Katika njia ya Mataifa msiende, wala katika mji wowote wa Wasamaria msiingie.


Kila mtu alisikiapo neno la ufalme bila kulielewa, huja yule mwovu, akalinyakua lililopandwa moyoni mwake. Huyo ndiye aliyepandwa karibu na njia.


Tena Habari Njema ya ufalme itahubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; hapo ndipo ule mwisho utakapokuja.


Tubuni; kwa maana ufalme wa mbinguni umekaribia.


Akawaambia, Nendeni ulimwenguni kote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe.


Wakatoka, wakahubiri kwamba watu watubu.


Basi, baada ya hayo Bwana aliweka na wengine, sabini, akawatuma wawili wawili wamtangulie kwenda katika kila mji na kila mahali alipokusudia kwenda mwenyewe.


Hata mavumbi ya mji wenu yaliyogandamana na miguu yetu tunayakung'uta juu yenu. Lakini jueni hili, ya kuwa Ufalme wa Mungu umekaribia.


waponyeni wagonjwa waliomo, waambieni, Ufalme wa Mungu umewakaribia.


Torati na Manabii vilikuwapo mpaka Yohana; tangu wakati huo Habari Njema ya ufalme wa Mungu hutangazwa, na kila mtu hujiingiza kwa nguvu.


Na makutano walipojua walimfuata; akawakaribisha, akawa akisema nao habari za ufalme wa Mungu, akawaponya wale wenye haja ya kuponywa.