Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 8:46 - Swahili Revised Union Version

Yesu akasema, Mtu alinigusa, maana naona ya kuwa nguvu zimenitoka.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Isa akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, kwa maana nimetambua kuwa nguvu zimenitoka.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Isa akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, kwa maana nimetambua kuwa nguvu zimenitoka.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Yesu akasema, Mtu alinigusa, maana naona ya kuwa nguvu zimenitoka.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 8:46
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa siku zile mojawapo alikuwa akifundisha, na Mafarisayo na waalimu wa torati walikuwa wameketi hapo, waliotoka katika kila kijiji cha Galilaya, na Yudea, na Yerusalemu; na uweza wa Bwana ulikuwapo apate kuponya.


Na makutano yote walikuwa wakitaka kumgusa, kwa sababu uweza ulikuwa ukimtoka ukiwaponya wote.


Yule mwanamke, alipoona ya kwamba hawezi kusitirika akaja akitetemeka, akaanguka mbele yake, akamweleza mbele ya watu wote sababu yake ya kumgusa, na jinsi alivyoponywa mara moja.


Bali ninyi ni uzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;