Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 8:46 - Swahili Revised Union Version

46 Yesu akasema, Mtu alinigusa, maana naona ya kuwa nguvu zimenitoka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

46 Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

46 Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

46 Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

46 Lakini Isa akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, kwa maana nimetambua kuwa nguvu zimenitoka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

46 Lakini Isa akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, kwa maana nimetambua kuwa nguvu zimenitoka.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

46 Yesu akasema, Mtu alinigusa, maana naona ya kuwa nguvu zimenitoka.

Tazama sura Nakili




Luka 8:46
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ikawa siku zile mojawapo alikuwa akifundisha, na Mafarisayo na waalimu wa torati walikuwa wameketi hapo, waliotoka katika kila kijiji cha Galilaya, na Yudea, na Yerusalemu; na uweza wa Bwana ulikuwapo apate kuponya.


Na makutano yote walikuwa wakitaka kumgusa, kwa sababu uweza ulikuwa ukimtoka ukiwaponya wote.


Yule mwanamke, alipoona ya kwamba hawezi kusitirika akaja akitetemeka, akaanguka mbele yake, akamweleza mbele ya watu wote sababu yake ya kumgusa, na jinsi alivyoponywa mara moja.


Bali ninyi ni uzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo