Luka 8:46 - Swahili Revised Union Version46 Yesu akasema, Mtu alinigusa, maana naona ya kuwa nguvu zimenitoka. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema46 Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND46 Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza46 Lakini Yesu akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, maana nimehisi nguvu imenitoka.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu46 Lakini Isa akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, kwa maana nimetambua kuwa nguvu zimenitoka.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu46 Lakini Isa akasema, “Kuna mtu aliyenigusa, kwa maana nimetambua kuwa nguvu zimenitoka.” Tazama suraBIBLIA KISWAHILI46 Yesu akasema, Mtu alinigusa, maana naona ya kuwa nguvu zimenitoka. Tazama sura |