Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 7:5 - Swahili Revised Union Version

maana, analipenda taifa letu, naye alitujengea sinagogi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

kwa maana yeye analipenda taifa letu, na ndiye aliyetujengea lile sunagogi.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

kwa maana yeye analipenda taifa letu, na ndiye aliyetujengea lile sunagogi.”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

kwa maana yeye analipenda taifa letu, na ndiye aliyetujengea lile sunagogi.”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

kwa sababu analipenda taifa letu tena ametujengea sinagogi.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

kwa sababu analipenda taifa letu tena ametujengea sinagogi.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

maana, analipenda taifa letu, naye alitujengea sinagogi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 7:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Hiramu, mfalme wa Tiro, akawatuma watumishi wake kwa Sulemani; kwani alikuwa amesikia ya kwamba wamemtia mafuta awe mfalme mahali pa baba yake. Kwa maana Hiramu alikuwa akimpenda Daudi siku zote.


Nao walipofika kwa Yesu, walimsihi sana wakisema, Amestahili huyu umtendee neno hili;


Basi Yesu akaenda pamoja nao. Hata alipokuwa si mbali na nyumba yake, yule afisa alituma rafiki kwake, akamwambia, Bwana, usijisumbue, maana mimi sistahili wewe uingie chini ya dari langu;


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala kutotahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


Sisi tunajua ya kuwa tumepita toka mautini kuingia uzimani, kwa maana tunawapenda ndugu. Yeye asiyependa, akaa katika mauti.