Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Luka 7:5 - Swahili Revised Union Version

5 maana, analipenda taifa letu, naye alitujengea sinagogi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 kwa maana yeye analipenda taifa letu, na ndiye aliyetujengea lile sunagogi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 kwa maana yeye analipenda taifa letu, na ndiye aliyetujengea lile sunagogi.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 kwa maana yeye analipenda taifa letu, na ndiye aliyetujengea lile sunagogi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 kwa sababu analipenda taifa letu tena ametujengea sinagogi.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 kwa sababu analipenda taifa letu tena ametujengea sinagogi.”

Tazama sura Nakili

BIBLIA KISWAHILI

5 maana, analipenda taifa letu, naye alitujengea sinagogi.

Tazama sura Nakili




Luka 7:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo Hiramu, mfalme wa Tiro, akawatuma watumishi wake kwa Sulemani; kwani alikuwa amesikia ya kwamba wamemtia mafuta awe mfalme mahali pa baba yake. Kwa maana Hiramu alikuwa akimpenda Daudi siku zote.


Nao walipofika kwa Yesu, walimsihi sana wakisema, Amestahili huyu umtendee neno hili;


Basi Yesu akaenda pamoja nao. Hata alipokuwa si mbali na nyumba yake, yule afisa alituma rafiki kwake, akamwambia, Bwana, usijisumbue, maana mimi sistahili wewe uingie chini ya dari langu;


Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala kutotahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo.


Sisi tunajua ya kuwa tumepita toka mautini kuingia uzimani, kwa maana tunawapenda ndugu. Yeye asiyependa, akaa katika mauti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo