Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 7:30 - Swahili Revised Union Version

Lakini, Mafarisayo na wanasheria walilipinga shauri la Mungu juu yao, kwa kuwa hawakubatizwa naye.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini Mafarisayo na waalimu wa sheria walikataa mpango wa Mungu uliowahusu, wakakataa kubatizwa na Yohane.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini Mafarisayo na waalimu wa sheria walikataa mpango wa Mungu uliowahusu, wakakataa kubatizwa na Yohane.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini Mafarisayo na waalimu wa sheria walikataa mpango wa Mungu uliowahusu, wakakataa kubatizwa na Yohane.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini Mafarisayo na wataalamu wa Torati walikataa mpango wa Mungu kwao kwa kutokubali kubatizwa na Yahya.)

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini Mafarisayo na wataalamu wa Torati walikataa mpango wa Mungu kwao kwa kutokubali kubatizwa na Yahya.)

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Lakini, Mafarisayo na wanasheria walilipinga shauri la Mungu juu yao, kwa kuwa hawakubatizwa naye.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 7:30
11 Marejeleo ya Msalaba  

Bali mmeupuuza ushauri wangu, Wala hamkutaka maonyo yangu;


Mwasemaje, Sisi tuna akili, na Torati ya BWANA tunayo pamoja nasi? Lakini, tazama, kalamu yenye uongo ya waandishi imeifanya kuwa uongo.


Mmoja wao, mwanasheria, akamwuliza, akimjaribu;


Ee Yerusalemu, Yerusalemu, uwauaye manabii na kuwapiga kwa mawe waliotumwa kwako, mara ngapi nimetaka kuwakusanya watoto wako kama vile kuku awakusanyavyo vifaranga wake chini ya mbawa zake, wala hamkutaka.


Na tukisema ulitoka kwa wanadamu, watu wote watatupiga kwa mawe, kwa kuwa wamemkubali Yohana kuwa ni nabii.


Bwana akasema, Niwafananishe na nini watu wa kizazi hiki? Nao wamefanana na nini?


Kwa maana sikujiepusha na kuwahubiria habari ya kusudi lote la Mungu.


Lakini kwa Israeli asema, Mchana kutwa niliwanyoshea mikono watu wasiotii na wakaidi.


Nasi tukitenda kazi pamoja naye twawasihi msiipokee neema ya Mungu bure.


Siibatili neema ya Mungu; maana, ikiwa haki hupatikana kwa njia ya sheria, basi Kristo alikufa bure.


na ndani yake sisi nasi tulifanywa urithi, huku tukichaguliwa tangu awali sawasawa na kusudi lake yeye, ambaye hufanya mambo yote kwa shauri la mapenzi yake.