Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Luka 6:15 - Swahili Revised Union Version

na Mathayo na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Simoni aitwaye Zelote,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mathayo na Thoma, Yakobo wa Alfayo na Simoni (aliyeitwa Zelote),

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mathayo na Thoma, Yakobo wa Alfayo na Simoni (aliyeitwa Zelote),

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mathayo na Thoma, Yakobo wa Alfayo na Simoni (aliyeitwa Zelote),

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni aliyeitwa Zelote,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mathayo, Tomaso, Yakobo mwana wa Alfayo, Simoni aliyeitwa Zelote,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

na Mathayo na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Simoni aitwaye Zelote,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Luka 6:15
14 Marejeleo ya Msalaba  

Naye Yesu alipokuwa akipita kutoka huko aliona mtu ameketi forodhani, aitwaye Mathayo, akamwambia, Nifuate. Akaondoka, akamfuata.


Na alipokuwa akipita, akamwona Lawi wa Alfayo, ameketi forodhani, akamwambia, Nifuate. Akaondoka akamfuata.


na Andrea, na Filipo, na Bartholomayo, na Mathayo, na Tomaso, na Yakobo wa Alfayo, na Thadayo, na Simoni Mkananayo,


Baada ya hayo akatoka, akaona mtoza ushuru, jina lake Lawi, ameketi forodhani, akamwambia, Nifuate.


Simoni, aliyemwita jina la pili Petro, na Andrea nduguye, na Yakobo na Yohana, na Filipo na Bartholomayo,


na Yuda wa Yakobo, na Yuda Iskarioti, ndiye aliyekuwa msaliti.


Basi Tomaso, aitwaye Pacha, akawaambia wanafunzi wenziwe, Twendeni na sisi, ili tufe pamoja naye.


Lakini mmoja wa wale Kumi na Wawili, Tomaso, aitwaye Pacha, hakuwako pamoja nao alipokuja Yesu.


Wakati walipoingia, wakapanda ghorofani, walipokuwa wakikaa; Petro, na Yohana, na Yakobo, na Andrea, Filipo na Tomaso, Bartholomayo na Mathayo, Yakobo wa Alfayo, na Simoni Zelote, na Yuda wa Yakobo.


Na hao walipokwisha kunyamaza Yakobo akajibu, akisema, Ndugu zangu, nisikilizeni.


Lakini sikumwona mtume mwingine, ila Yakobo, ndugu yake Bwana.


tena Yakobo, Kefa, na Yohana, waliosifika kuwa ni nguzo, walipoitambua ile neema niliyopewa, walinipa mimi na Barnaba mkono wa kulia wa kuonesha ushirikiano; ili sisi tuende kwa Mataifa, na wao waende kwa watu wa tohara;


Yakobo, mtumwa wa Mungu, na wa Bwana Yesu Kristo, kwa makabila kumi na mawili waliotawanyika; salamu.